Mmiliki
wa studio ya Zero to Hero Records iliyopo kahama ,mkoani Shinyanga , Newe Derefa
ak.a super Newe, amewataka wasanii pamoja na wadau wa muziki nchini Tanzania
kuondokana na dhana ya kwamba mikoani hakuna studio nzuri na zenye ubora
zaidi , kiasi cha watu kufunga safari kuelekea Dar na kuacha studio kali zaidi mikoani.
Akiongea katika kipindi cha strengo Saturday cha Victoria fm, pamoja na blog hii , newe amesema kwasasa mikoani kuna studio kubwa na zenye vifaa bora zaidi kiasi cha kuzalisha muziki kwa ubora zaidi kuliko hata zilizopo Dar es salaam.
Akiongea katika kipindi cha strengo Saturday cha Victoria fm, pamoja na blog hii , newe amesema kwasasa mikoani kuna studio kubwa na zenye vifaa bora zaidi kiasi cha kuzalisha muziki kwa ubora zaidi kuliko hata zilizopo Dar es salaam.
Akiiongelea
studio yake ya zero to hero records , mmliki huo alisema kuwa ,wao wananaamini
katika ubora kiasi kwamba kwa muda mfupi wamefanikiwa kuzalisha muziki mzuri
kiasi cha kutoa ushindani wa hali ya juu kwa studio kongwe na kubwa za audio
hapa nchini.
No comments:
Post a Comment