Kati
ya marapa wakali na ambao tunaweza kusema kwa mwaka 2016 wanaumaliza wakiwa na upepo mkubwa sana wa
mashabiki na walijozolea mashabiki lukuki kwa mwaka 2016 , Darasa ni mmoja wapo,
ambapo aliweza kudhihirisha ukali wake
na ukubwa wake sio wa kubahatisha
bali ni ukubwa ambao ameudhamiria kuutendea haki Nakutendea haki
mashabiki zake.Mshikaji
alipoachia ngoma ya KAMA UTANIPENDA , aliyofanya kwa Abba process, producer
ambaye kwa kiasi kikubwa ngoma hiyo
iliweza kumpaisha zaidi, wengi walihisi darasa asingewewa kutoa ngoma kubwa
zaidi ya hiyo au ambayo ingekaribia hiyo, na badala yake akaweza kuwdhibitishia
mashabiki kuwa hakuwa anabip na badala yake alijipanga kikamilifu baada ya
kuachia jiwe lingine kwa muda mfupi tu , ngoma iliyojulikana kwa jina la too
much.
Ngoma ya too much ilipata mapokeo makubwa sana katika mitandao ya kijamii kiasi cha kuvunja record ya ngoma yake aliyoitoa muda mfupi kabla ya hiyo, ngoma ya KAMA utanipenda .
Kabla ya kuuaga mwaka 2016, joto la ngoma ya too much likiwa halijapoa , mshikaji akaweza kuachia jiwe lingine linalokwenda kwa jina la muziki ngoma ambayo amemshirikisha ben paul, na ikiwa imefanywa na maproducer watatu ambao ni VS, Abba process pamoja na Mr. t touch.
Mapokeo ya ngoma ya muziki yamekuwa ni makubwa zaidi ya ngoma zake mbili zilizotangulia kiasi cha mashabiki pamoja na watu maarufu wakiwemo mdj, radio presenters pamoja na waigizaji, wakiamua kuibatiza jina la wimbo wa taifa .
Darasa anaufunga mwaka 2016 akiwa ni msanii ambaye ngoma zake zimeeleweka kwa kiasi kikubwa sana kwa mashabiki wake.
Ngoma ya too much ilipata mapokeo makubwa sana katika mitandao ya kijamii kiasi cha kuvunja record ya ngoma yake aliyoitoa muda mfupi kabla ya hiyo, ngoma ya KAMA utanipenda .
Kabla ya kuuaga mwaka 2016, joto la ngoma ya too much likiwa halijapoa , mshikaji akaweza kuachia jiwe lingine linalokwenda kwa jina la muziki ngoma ambayo amemshirikisha ben paul, na ikiwa imefanywa na maproducer watatu ambao ni VS, Abba process pamoja na Mr. t touch.
Mapokeo ya ngoma ya muziki yamekuwa ni makubwa zaidi ya ngoma zake mbili zilizotangulia kiasi cha mashabiki pamoja na watu maarufu wakiwemo mdj, radio presenters pamoja na waigizaji, wakiamua kuibatiza jina la wimbo wa taifa .
Darasa anaufunga mwaka 2016 akiwa ni msanii ambaye ngoma zake zimeeleweka kwa kiasi kikubwa sana kwa mashabiki wake.
No comments:
Post a Comment