P
the mc , ni kati ya marapa wakali wanaotoka chini ya mwavuli wa tamaduni muziki nchini Tanzania
, na ambao ni wakubwa katika sanaa ya muziki wa Tanzania
…jamaa ni kati ya wasanii ambao waliweza kuachia ngoma kubwa na kali sana ambayo
ilitoka rasmi mwezi wa pili mwaka huu
wa 2016 , ngoma ambayo amemshirikisha Jux
katika kiitikio lakini ikiwa imefanyika chini ya 4.12. (four point twelve )Dully sykes,
Ngoma ya Namimi.…ukiwa sio mfuatiliaji sana wa kazi za huyu jamaa unaweza
ukamchukulia kawaida au kumuweka katika level ambazo ni ndogo sana ,
kulinganisha na anachokifanya , lakini kwa wale wote wanaojua kazi anayoifanya
na wanaofuatilia kazi zake ni wazi watakubaliana nami kwamba jamaa ni mkubwa sana katika sanaa ya
muziki especially ya Tanzania na nchi za jirani….
Mwaka 2016 baada ya kuachia ngoma yake ya “Na mimi” aliyoshirikiana na Jux, aliweza kudhihirishia uma wa watanzania na mashabiki zake kuwa sio tu ni mkali katika michano kama ambavyo wengi wamemzoea katika upande huo lakini pia katika nyimbo anaweza kufanya kitu kikubwa zaidi kwa upande wa kuimba au nyimbo za biashara kama ambavyo wengi hivi sasa wamekuwa wakiziita hivyo.
Ngoma yake ya Na mimi, kwa mwaka 2016, iliweza kubadili upepo kiasi cha kujizolea mashabiki lukuki wa upande wa pili ambao si wale waliozoea ngoma ngumu, hivyo kuingia katika mzunguko mkubwa sana wa ngoma zilizoombwa sana katika kipindi chote cha mwaka 2016, na pia kuingia katika list ya ngoma kumi au ishirini bora za vituo mbalimbali vya radio nchini tanzania .
ngoma hiyo pia imeweza kumuwezesha p the mc , kuwa na project nyingi za mikoani zikiwemo show pamoja na uuzaji wa bidhaa nyingi sana kama kofia, masweta, jumpers, singlend, bodytight pia ambazo zina logo ya Na mimi......
Mwaka 2016 baada ya kuachia ngoma yake ya “Na mimi” aliyoshirikiana na Jux, aliweza kudhihirishia uma wa watanzania na mashabiki zake kuwa sio tu ni mkali katika michano kama ambavyo wengi wamemzoea katika upande huo lakini pia katika nyimbo anaweza kufanya kitu kikubwa zaidi kwa upande wa kuimba au nyimbo za biashara kama ambavyo wengi hivi sasa wamekuwa wakiziita hivyo.
Ngoma yake ya Na mimi, kwa mwaka 2016, iliweza kubadili upepo kiasi cha kujizolea mashabiki lukuki wa upande wa pili ambao si wale waliozoea ngoma ngumu, hivyo kuingia katika mzunguko mkubwa sana wa ngoma zilizoombwa sana katika kipindi chote cha mwaka 2016, na pia kuingia katika list ya ngoma kumi au ishirini bora za vituo mbalimbali vya radio nchini tanzania .
ngoma hiyo pia imeweza kumuwezesha p the mc , kuwa na project nyingi za mikoani zikiwemo show pamoja na uuzaji wa bidhaa nyingi sana kama kofia, masweta, jumpers, singlend, bodytight pia ambazo zina logo ya Na mimi......
No comments:
Post a Comment